Na Mwandishi Dar es Salaam Ubalozi wa Kenya nchini umeweka wazi nia yake ya kuongeza ushirikiano na Tanzania katika matibabu ya saratani kwa kuhakikisha diplomasia ya utamaduni na afya baina ya hizi nchi mbili unaimarishwa ikiwemo wananchi wa Kenya, kufika katika Taasisi ya Saratani Ocean Road (ORCI). Masuala hayo yamebainishwa na Balozi wa Kenya nchini
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed